Kipindi cha Njia Panda kilichorushwa na redio Clouds FM kuhusu tiba inayopatikana Loliondo kijijini Samunge kwa Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Ambilikile Masapila ambaye anasema alioteshwa na Mungu ndotoni kuwa tiba hiyo itaponya magonjwa sugu ya VVU/UKIMWI, Kisukari, Pumu na Shinikizo la juu la damu.
Haya ni mahojiano katika kipindi kilichowashirikisha wataalamu wa Afya, Mmoja wa wagonjwa aliyekunywa dawa na kudai anajisikia kupona na Wachungaji wawili wa madhehebu tofauti ya Kikristo.
Mwendesha kipindi ni Dk. Isaac Maro
This audio is part of the collection:Community Audio It also belongs to collection: